LATINO LOUNGE KUFUNGULIWA NDANI YA DODOMA TAR 24 MWEZI HUUU!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Mkurugenzi wa Cafe
latino Dodoma Mr Nouman Khalid akiongea na uongozi wa website hii
kuhusiana na lounge yake, Amesema anategemea kwenye mkesha wa x mass
kuizindua Latino Lounge, ambayo inamwonekano wa kipekee ambayo ana
uhakika wa kufanya vizuri katika mji wa Dodoma,
Haya sasa mkazi wa dodoma kiwanja kipya hiki kinafunguliwa siku ya mkesha wa christmas ndani ya mkoa wa dodoma usikoseee
No comments:
Post a Comment