| Zungu Myama awa kivutio kikubwa sana ndani ya New Maisha club siku ya jana:
Kikosi
cha xtreme Jeejayz ambacho hakika kila kukicha kinazidi kujijengea
heshima kubwa ndani ya nchi na nje ya nchi kwa ubunifu mkubwa
wanaoufanya wa kutoa burudani zenye utofauti na zinazotolewa mahara
pengine.
Tarehe
2/11/2013 jana Xtreme Deejayz walikuwa na onesho maalum na utambulisho
wa staili yao mpya ya DJ LIVE DRUMMER ambayo imezinduliwa mapema mwezi
uliopita Jijini Dar kwenye Club Maisha.
|