Pages

Friday, December 20, 2013

LATINO LOUNGE KUFUNGULIWA NDANI YA DODOMA TAR 24 MWEZI HUUU!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!



Mkurugenzi wa Cafe latino Dodoma Mr Nouman Khalid akiongea na uongozi wa website hii kuhusiana na lounge yake, Amesema anategemea kwenye mkesha wa x mass kuizindua Latino Lounge, ambayo inamwonekano wa kipekee ambayo ana uhakika wa kufanya vizuri katika mji wa Dodoma,




Photo: Latino lounge



Haya sasa mkazi wa dodoma kiwanja kipya hiki kinafunguliwa siku ya mkesha wa christmas ndani ya mkoa wa dodoma usikoseee

No comments:

Post a Comment