Pages

Friday, December 20, 2013

LATINO LOUNGE KUFUNGULIWA NDANI YA DODOMA TAR 24 MWEZI HUUU!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!



Mkurugenzi wa Cafe latino Dodoma Mr Nouman Khalid akiongea na uongozi wa website hii kuhusiana na lounge yake, Amesema anategemea kwenye mkesha wa x mass kuizindua Latino Lounge, ambayo inamwonekano wa kipekee ambayo ana uhakika wa kufanya vizuri katika mji wa Dodoma,




Photo: Latino lounge



Haya sasa mkazi wa dodoma kiwanja kipya hiki kinafunguliwa siku ya mkesha wa christmas ndani ya mkoa wa dodoma usikoseee

Wednesday, December 4, 2013

Ben Pol Home Coming Party ndani Ya Dodoma @African Dream Hotel Jumamosi Hii Usikoseeeeeee!!!!!!!!!!!!!




Show Hii Kali ya kusherekea mafanikio ya mwaka 2013 kwa pamoja Dodoma inafanyika Africa Dream Hotel na
Pia Ben Paul Atapewa nguvu na wasanii kibao kutoka Dar es salaam. Kiingilio Ni 7000